Mfalme Murakami (村上 天皇, Murakami-tennō, 14 Julai 926 - 5 Julai 967) alikuwa mfalme wa 62 wa Japani, kulingana na utaratibu wa jadi wa mfululizo. Utawala wa Murakami ulianza miaka 946 hadi kifo chake mwaka 967. [Mfalme wa Japani][Heian-kyō][Orodha ya Wafalme wa Japan]